uongozi
UONGOZI WA USHARIKA
- MCHUNGAJI KIONGOZI: OSCAR EMMANUEL MLYUKA
- MWINJILISTI: EVA MORETO
- PARISHWORKER: EMMA MBUYA
- MHASIBU: UPENDO SHEMNDOTWA
WATUMISHI WA USHARIKA
- MRATIBU WA ELIMU YA KIKRISTO: EV. EVA MOTETO
- MWALIMU SHULE YA USHONAJI: MRS VERONICA MGANA
WAHUDUMU/USAFI
- FIDEA NG’UMBI
- EDWARD KIBWANA
WALINZI
- ELIYA
- JOSHUA
- NIKO MSUNGU
- LAMECK LUTUMO
USHARIKA WA KWIRIRI
- MCHUNGAJI KIONGOZI: ASAJILE MANOT
- MWINJILISTI:
- PARISHWORKER: JANETH MSAKI
- MHASIBU: UPENDO SHEMNDOTWA
MTAA WA MAPINGA
- MCHUNGAJI KIONGOZI: OSCAR EMMANUEL MLYUKA
- MWINJILISTI: SARAH KIVUYO
- PARISHWORKER:
- MHASIBU:
MTAA WA KINZUDI
- MCHUNGAJI KIONGOZI: LEMA
- MWINJILISTI: GODFREY MUHINA
- PARISHWORKER:
- MHASIBU:
Watumishi waliopita katika Usharika wetu ni pamoja na;
- Mchungaji Halfmani
- Mchungaji Milanzi
- Mchungaji Deke
- Mchungaji Mwamakula
- Mchungaji Kuta
- Mchungaji Kitale
- Mchungaji Mughumba
- Mchungaji Mwakabonga
- Mchungaji Mgaya
- Mchungaji Kibwana
- Mchungaji Pawa
- Mchungaji Ntele
- Mchungaji Kyaka
- Mchungaji Sozigwa
- Mchungaji Maarifa
- Mchungaji Muro
- Mchungaji Lwiza
- Mchungaji Nkya
- Mchungaji Oscar
- Kanisa la kwanza lilijengwa na mchungaji Deke
- Mchungaji Mwakabonga alipanua Pembeni pia alianzisha miradi ya Chekechea, Ushonaji, Mashine ya kusaga, uamusho (fellowship) pamoja na Ujenzi wa jingo la utawala
- Mchungaji Kibwana alipanua Madhabahu
- Mchungaji pawa alijenga ukuta wa uzio
- Mchungaji Ntele aliweka marumaru madhabahuni
- Mchungaji Kyaka, aliweka Terezo pamoja na nyumba ya Mtumishi Kisarawe Junior Seminari
- Mchungaji Muro alitengeneza na kukarabati ofisi na kuwa ya kisasa.
- Mchungaji Nkya amejenga Kanisa Jipya, zuri na kubwa kazi ambayo ilishindikana kuanza kwa muda mrefu uliopita.
Makatibu waliohudumu hapa Kanisani ni pamoja na:
- E. Molleli – aliyekuwa katibu mkuu wa Rais
- Marehemu Mzee J. Msangi
- Marehemu Mile
- Mzee Manga
- Mzee Mfuru
- Marehemu Moshi
- Mwanga A
- Mzee Kawa
- Mzee Kawa
- Mzee Lyamba
- Mzee Dr. Urassa
Wainjilisti waliohudumu tangu kuanzishwa kwa Kanisa
- Benjamini Shoo
- Senzighe
- Mfinanga
- Dilunga
- Sam
- Joshua Jaha
- Itonye
- Mgaya
- Elinsa Rafael
- Nzota
- Twilumba Mkumbo (Mrs)
- Giyo
- Magowi
- Mwakalobo
- Tumaini Ayo
Parishworkers
- Christine
- Msuya Hulda.
- Fridah Moshi
- Emma Sam
- Stella Philemon
- Eshimendi Uronu
- Janeth Mkumbi
- P/w Anna Mmbaga