MAHUBIRI 04/09/2016, BY MCHG G. NKYA
Posted in Habari, Mahubiri on Sep 09, 2016
Bwana wetu Yesu Kristo apewe sifa
Wazo: Mungu hututunza kwa uweza wake NENO LUKA 7:11-17* YESU ANAMFUFUA KIJANA WA NAINA
Key Points:
- Katika wakati mgumu, huzuni, shida, Yesu hutokea na kusimama katikati.
- Yesu akisimama, shida zote hufika mwisho.
- Yesu aliona huzuni ya mama mjane aliyefiwa na mwanae wa pekee, akamhurumia.
Tunajifunza nini?
- Wewe baba au mama usimruhusu mwenzako kumnyanyasa mama mjane au yatima katika mji wako kwani utajitengenezea laana au mazingira magumu wewe na uzao wako.
- Tusimame na Yesu kwani tumaini lipo. Tutapita katika shida nyingi kwanza lakini tukisimama na Yesu tutaheshimiwa.
- Wanadamu watatuacha lakini Yesu hatatuacha.
…..Amina…..