Category: Mahubiri
MAHUBIRI YA TAREHE 21-01-2018 KKKT UBUNGO
Posted in Habari, Mahubiri on Jan 21, 2018
SI KILA MLANGO UNAO UONA UMEFUNGWA, NI KWELI UMEFUNGWA.
Tusome Luka 5: 1-11 Kwa kawaida ya kazi ya uvuvi hufanywa usiku. Na Simoni alijua hilo, baada ya Yesu kumwambia ashushe nyavu Simoni alisema kwa "Neno lako tutashusha" Na tunasoma muujiza waliokutana nao baada ya kutii neno la Kristo. Unapokuwa umekata tamaa na jambo lolote na Mungu akakupa maelekezo ya kufanya jambo hilohilo ambalo wewe unaona hakuna namna Jifunze "kutii neno la Kristo"
Leo hii Yesu anakuambia "Tweka mpaka kilindini ukashushe nyavu zako"
Ile biashara uliyofunga nenda kaifungue, kama ulikata tamaa kusoma kwasababu ulifeli...
Soma Zaidi ...MAHUBILI YA JUMAPILI TAREHE 30-04-2017
Posted in Habari, Mahubiri, Uncategorized on May 01, 2017
Mhubili ni Mwinjilisti Godson Mshana ,Kutoka Pugu New Land
Neno KUU:Yesu Kristo ni Mchungaji Mwena
Mistali ya kusimamia ni 1:Zaburi ya 23 2:Yohana 10:1-6 3:Ezekieli 34:11-16 4:Yeremia 33:1-
Kupitia mistali tajwa hapo juu tunajifunza mambo tofauti tofauti kwa maisha yetu kama wakristo ambao tumaini letu ni kwa bwana Yesu
i)Tunatakiwa kumtumaini Bwana Yesu na kumtegemea kama mchungaji wetu Mkuu kama alivyomwambia Yeremia
ii)Tunatakiwa kumtumaini Yesu katika changamoto tunazopitia katika maisha yetu ya kila siku,tumaini letu linatakiwa kubaki kwa Yesu tu
Yeremia japokuwa alikuwa amefungwa lakini ...
Soma Zaidi ...MAHUBIRI 04/09/2016, BY MCHG G. NKYA
Posted in Habari, Mahubiri on Sep 09, 2016
DHAMBI YA KUALIKWA, NI MATESO!
Posted in Mahubiri on Sep 09, 2016
MAHUBIRI JUMAPILI, 11-09-2016, BY MCHG G . NKYA
Posted in Habari, Mahubiri on Sep 04, 2016
IBADA UBUNGO KKKT 20TH March 2016
Posted in Mahubiri on Mar 20, 2016
KWANINI TUNATOA LAKINI HATUPOKEI?
Posted in Mahubiri on Jun 20, 2014