Category: Matukio
UZINDUZI WA KANISA KKKT UBUNGO TAREHE 29-10-2017
Posted in Habari, Matukio, Uncategorized on May 01, 2017
Karibuni sana tuwe pamoja katika ibada ya ufunguzi wa jengo la ibada na maadhimisho ya miaka 500 ya matengenezo ya kanisa hapa KKKT Ubungo ibada ikiongozwa na Baba Askofu Alex G. Malasusa. Mungu wangu na awabariki
Soma Zaidi ...SEMINA YA NENO LA MUNGU NA Mwl:Grace Kisuu Kuanzia 02-04-2017 hadi 09-04-2017
Posted in Habari, Matukio on Apr 02, 2017
SEMINA YA NENO LA MUNGU NA Mwl:Grace Kisuu 02-04-2017 hadi 09-04-2017 Ofisi ya Mchungaji inapenda kuwakaribisha wakristo wote kwenye semina ya neno la Mungu itakayoanza Jumapili ya tarehe 02-04-2017 hadi 09-04-2017 hapa hapa Ubungo KKKT.Pia kutakuwa na hudauma ya maombi na maombezi kila siku kwa wenye shida yatakuwepo
NENO KUU:MANENO YA KINYWA CHAKO YANAWEZA KUWA SILAHA KWENYE MAISHA YAKO
Muda:Kuanzia saa 10 jioni mpaka 12:30 jioni kila siku
Watu wote mnakalibishwa...Mungu na
Soma Zaidi ...KUSIMIKWA NA KUAGWA KWA WAZEE WA KANISA 07 Dec, 2014
Posted in Matukio on Nov 18, 2016
MKUTANO MKUU KWA MARA YA KWANZA KISARAWE SEMINARI
Posted in Matukio on Nov 18, 2016
MAOMBI YA KILA SIKU (MORNING GLORY)
Posted in Matukio on Nov 18, 2016
