Category: mahubiri


MAHUBIRI YA TAREHE 21-01-2018 KKKT UBUNGO

Posted in Habari, Mahubiri on Jan 21, 2018

<p>SI KILA MLANGO UNAO UONA UMEFUNGWA, NI KWELI UMEFUNGWA.</p> <p>Tusome Luka 5: 1-11 Kwa kawaida ya kazi ya uvuvi hufanywa usiku. Na Simoni alijua hilo, baada ya Yesu kumwambia ashushe nyavu Simoni alisema kwa &quot;Neno lako tutashusha&quot; Na tunasoma muujiza waliokutana nao baada ya kutii neno la Kristo. Unapokuwa umekata tamaa na jambo lolote na Mungu akakupa maelekezo ya kufanya jambo hilohilo ambalo wewe unaona hakuna namna Jifunze &quot;kutii neno la Kristo&quot;</p> <p>Leo hii Yesu anakuambia &quot;Tweka mpaka kilindini ukashushe nyavu zako&quot;</p> <p>Ile biashara uliyofunga nenda kaifungue, kama ulikata tamaa kusoma kwasababu ulifeli...</p> Soma Zaidi ...

MAHUBILI YA JUMAPILI TAREHE 30-04-2017

Posted in Habari, Mahubiri, Uncategorized on May 01, 2017

<p>Mhubili ni Mwinjilisti Godson Mshana ,Kutoka Pugu New Land</p> <p>Neno KUU:<strong>Yesu Kristo ni Mchungaji Mwena</strong></p> <p>Mistali ya kusimamia ni 1:Zaburi ya 23 2:Yohana 10:1-6 3:Ezekieli 34:11-16 4:Yeremia 33:1-</p> <p>Kupitia mistali tajwa hapo juu tunajifunza mambo tofauti tofauti kwa maisha yetu kama wakristo ambao tumaini letu ni kwa bwana Yesu</p> <p>i)Tunatakiwa kumtumaini Bwana Yesu na kumtegemea kama mchungaji wetu Mkuu kama alivyomwambia Yeremia</p> <p>ii)Tunatakiwa kumtumaini Yesu katika changamoto tunazopitia katika maisha yetu ya kila siku,tumaini letu linatakiwa kubaki kwa Yesu tu</p> <p>Yeremia japokuwa alikuwa amefungwa lakini ...</p> Soma Zaidi ...

MAHUBIRI 04/09/2016, BY MCHG G. NKYA

Posted in Habari, Mahubiri on Sep 09, 2016

Katika wakati mgumu, huzuni, shida, Yesu hutokea na kusimama katikati. Soma Zaidi ...

DHAMBI YA KUALIKWA, NI MATESO!

Posted in Mahubiri on Sep 09, 2016

Amri yangu ndiyo hii, mpendane, kama nilivyowapenda ninyi. Yohana 15: 12. Soma Zaidi ...

MAHUBIRI JUMAPILI, 11-09-2016, BY MCHG G . NKYA

Posted in Habari, Mahubiri on Sep 04, 2016

Bwana wetu Yesu Kristo apewe sifa Tunaendelea kuwakaribisha watu wote wa mataifa yote,Dini zote na kabila zote katika ibada za kila jumapili hapa Kanisani Usharikani KKKT Ubungo Soma Zaidi ...

IBADA UBUNGO KKKT 20TH March 2016

Posted in Mahubiri on Mar 20, 2016

Maombi ni mazungumzo kati ya mtu na Mungu, ni njia ya mawasiliano kati ya Mtu na Mungu, na hayana mtu rasmi kwamba ni mtu fulani bali ni kwa kila mtu kwenye maisha yake Soma Zaidi ...

KWANINI TUNATOA LAKINI HATUPOKEI?

Posted in Mahubiri on Jun 20, 2014

Kanuni ya Mungu ni kupokea baada ya kutoa (kupanda na kuvuna). Kuna nyakati tunapanda lakini hatuvuni, Tunatoa lakini hatupokei. Katika hali kama hiyo, tatizo si Mungu, maana “Mungu, si mwanadamu hata aseme uongo” Hesabu 23:19. Soma Zaidi ...